Download PDF
Back to stories list

Słowa siostry Vusi Alichokisema dada yake Vusi

Written by Nina Orange

Illustrated by Wiehan de Jager

Translated by Aleksandra Migorska

Read by Helena Gabriela

Language Polish

Level Level 4

Narrate full story

Reading speed

Autoplay story


Pewnego wczesnego poranka babcia Vusi zwróciła się do chłopca: „Vusi, proszę weź to jajko i zanieś je swoim rodzicom. Rodzice chcą upiec wielki tort na ślub Twojej siostry”.

Siku moja asubuhi bibi yake Vusi alimwita na kumwambia, “Tafadhali peleka yai hili kwa wazazi wako. Wanataka kutengeneza keki kubwa kwa ajili ya harusi ya dada yako.”


W drodze do rodziców Vusi spotkał dwóch chłopców, którzy zbierali owoce. Jeden z nich zabrał Vusi jajko i rzucił nim w drzewo. Jajko rozbiło się.

Alipokuwa njiani kuelekea kwa wazazi wake, Vusi akakutana na vijana wawili wanaokota matunda. Kijana mmoja akanyakua yai kutoka kwa Vusi na akalirusha kwenye mti. Yai likavunjika.


„Coś ty zrobił?” – krzyknął Vusi. „To jajko miało być na tort na ślub mojej siostry. Co powie moja siostra gdy nie będzie tortu?”

“Umefanya nini?” Vusi akalia. “Yai lile lilikuwa kwa ajili ya keki. Keki ilikuwa kwa ajili ya harusi ya dada yangu. Dada yangu atasemaje kama hakutakuwa na keki ya harusi?”


Chłopcy poczuli się głupio. „Niestety nie możemy pomóc Ci z tortem, ale proszę weź ten kij dla swojej siostry”- powiedział jeden z nich. Vusi wyruszył w dalszą podróż.

Vijana wale waliomba msamaha kwa kumchokoza Vusi. “Hatuna la kufanya kuhusu keki, lakini hii hapa ni fimbo kwa ajili ya dada yako,” mmoja alisema. Vusi akaendelea na safari yake.


Po drodze spotkał dwóch mężczyzn, którzy budowali dom. „Czy możemy użyć tego kija?” – zapytał jeden z nich. Kij nie był jednak wystarczająco mocny i złamał się.

Njiani alikutana na wanaume wawili wakijenga nyumba. “Tunaweza kutumia hiyo fimbo imara?” mmoja akaomba. Lakini fimbo haikuwa imara kwa kujengea, na ikavunjika.


„Co zrobiliście?” – krzyknął Vusi. „Ten kij był prezentem dla mojej siostry. Zbieracze owoców dali mi ten kij, bo rozbili jajko na tort. Tort miał być na ślub mojej siostry. A teraz nie mam ani jajka, ani tortu, ani prezentu. Co powie moja siostra?”

“Mmefanya nini?” Vusi akalia. “Fimbo hii ilikuwa zawadi kwa ajili ya dada yangu. Waangua matunda walinipa fimbo hiyo kwa sababu walivunja yai la keki. Keki ilikuwa ni kwa ajili ya harusi ya dada yangu. Sasa hakuna yai, hakuna keki, na hakuna zawadi. Dada yangu atasemaje?”


Robotnicy poczuli się głupio: „Nie możemy pomóc Ci z tortem, ale proszę weź tę słomę na dach dla swojej siostry.” Vusi powędrował dalej.

Wajenzi waliomba msamaha kwa kuvunja fimbo. “Hatuna la kufanya kuhusu keki, lakini tutakupa makuti umpelekee dada yako,” mmoja alisema. Na Vusi akaendelea na safari yake.


Po drodze Vusi spotkał rolnika z krową. „Ta słoma wygląda tak smakowicie, czy mogę skubnąć?” – zapytała krowa. Krowa zjadła całą słomę, bo słoma była bardzo smaczna!

Njiani, Vusi akakutana na mkulima akiwa na ng’ombe. “Una makuti mazuri, naweza kupata kidogo?” Ng’ombe akaomba. Lakini makuti yalikuwa matamu ng’ombe akayala yote!


„Coś ty zrobiła?” – krzyknął Vusi. „To był prezent dla mojej siostry. Robotnicy dali mi słomę, bo złamali kij od zbieraczy owoców. Zbieracze owoców dali mi kij, bo rozbili jajko na tort na ślub mojej siostry. A teraz nie mam ani jajka, ani tortu, ani prezentu. Co powie moja siostra?”

“Umefanya nini?” Vusi akalia. “Makuti haya yalikuwa zawadi ya dada yangu. Wajenzi walinipa makuti kwa kuwa walivunja fimbo yangu niliyopewa na waangua matunda. Waangua matunda walinipa fimbo kwa kuwa walivunja yai kwa ajili ya keki ya dada yangu. Keki ilikuwa kwa ajili ya harusi ya dada yangu. Sasa hakuna yai, hakuna keki, na hakuna zawadi. Dada yangu atasemaje?”


Krowa poczuła się głupio. Rolnik pozwolił Vusiemu zabrać krowę jako prezent dla siostry. Vusi poszedł dalej.

Ng’ombe aliomba msamaha kwa kuwa mlafi. Mkulima alikubali kumpa Vusi ng’ombe aende naye kama zawadi kwa ajili ya dada yake. Vusi akaendelea na safari yake.


Krowa uciekła i wróciła do rolnika. Vusi zgubił się i spóźnił się na ślub siostry. Wszyscy goście już jedli.

Lakini wakati wa chakula cha jioni ng’ombe alikimbia kurudi kwa mkulima. Na Vusi akapotea njiani. Akafika kwa kuchelewa sana kwenye harusi ya dada yake. Wageni walikuwa tayari wanakula.


„Co mam teraz zrobić?” – krzyczał Vusi. „Krowa, która uciekła, była prezentem w zamian za słomę od robotników. Robotnicy dali mi słomę, bo złamali kij od zbieraczy owoców. Zbieracze owoców dali mi kij, bo zbili jajko na tort. Tort miał być na ślub. A teraz nie mam ani jajka, ani tortu, ani prezentu.”

“Nifanye nini?” alilia Vusi. “Ng’ombe aliyekimbia alikuwa ni zawadi, ambayo nilipewa kama mbadala wa makuti niliyopewa na wajenzi. Wajenzi walinipa makuti kwa sababu walivunja fimbo niliyopewa na waangua matunda. Waangua matunda walinipa fimbo kwa sababu walivunja yai la keki. Keki ilikuwa kwa ajili ya harusi. Kwa hiyo hakuna yai, hakuna keki, na hakuna zawadi.”


Siostra Vusi pomyślała przez chwilę i powiedziała: „Vusi, mój bracie, nie zależy mi na prezentach. Nie zależy mi nawet na torcie! Jesteśmy tutaj wszyscy razem i dlatego jestem szczęśliwa! Załóż odświętne ubranie i świętujmy ten dzień!” I tak też zrobił Vusi.

Dada yake Vusi alifikiria kwa muda, halafu akasema, “Kaka yangu Vusi, usijali zawadi, pia usijali keki! Tupo hapa pamoja, nina furaha. Nenda kavae nguo zako nadhifu na uje tusherehekee siku hii!”


Written by: Nina Orange
Illustrated by: Wiehan de Jager
Translated by: Aleksandra Migorska
Read by: Helena Gabriela
Language: Polish
Level: Level 4
Source: What Vusi's sister said from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 3.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF