Download PDF
Back to stories list

Magozwe Magozwe

Written by Lesley Koyi

Illustrated by Wiehan de Jager

Translated by ACE Haiti-University of Notre Dame USA

Language Haitian

Level Level 5

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Nan yon gwo vil Nairobi, yon gwoup ti gason tap dòmi nan lari a. Yo pate gen kay. Yo pran chak jou jan li vini a. Yon maten, ti gason yo tap roule mat yo apre yo te fin dòmi atè nan fè frèt la. Pou yo chofe kò yo yo te limen yon dife ak fatra. Pami gwoup ti gason sa yo te gen yon yo te rele Magozwe. Se li ki te pi piti a.

Kwenye jiji la Nairobi lenye pilikapilika nyingi, mbali na malezi ya nyumbani, paliishi kikundi cha wavulana wasiokuwa na makwao. Waliipokea kila siku ijayo kama ilivyo. Siku moja asubuhi, walikuwa wanakusanya virago vyao baada ya kulala kwenye baridi kando ya barabara. Ili kuondoa baridi, walikoka moto kwa kutumia takataka. Miongoni mwa kikundi hicho cha wavulana alikuwepo Magozwe. Alikuwa ni mdogo kuliko wote.


Lè paran Magozwe mouri, li te gen sèlman senkan. Li tal viv ak tonton li men mesye sa a pat okipe’l menm. Li pat bay Magozwe ase manje. Li fè ti gason an travay di anpil.

Wakati wazazi wa Magozwe walipofariki, alikuwa na miaka mitano tu. Alienda kuishi na mjomba wake. Mjomba hakumjali Magozwe. Hakumpa chakula cha kutosha. Alimfanyisha kazi nyingi nzito.


Lè paran Magozwe mouri, li te gen sèlman senkan. Li tal viv ak tonton li men mesye sa a pat okipe’l menm. Li pat bay Magozwe ase manje. Li fè ti gason an travay di anpil.

Magozwe alipolalamika au kuuliza, mjomba wake alimpiga. Magozwe alipouliza kama ataweza kwenda shule, mjomba wake alimpiga na kumwambia, “Wewe ni mjinga, hutaweza kujifunza chochote.” Baada ya miaka mitatu ya kunyanyaswa, Magozwe alitoroka kwa mjomba wake. Akaanza kuishi mtaani.


Lavi nan lari a te difisil anpil paske ti gason yo pase pifò nan tan yo ap chache manje chak jou. Kèk fwa yo arete yo oswa yo bat yo. Lè yo te malad yo pat jwenn moun pou ede yo. Gwoup lan te viv ak ti lajan yo te ba yo kòm charite ak nan vann plastik ak kalite bagay pou resiklaj. Lavi a te pi difisil toujou akòz goumen nan gwoup rival ki te vle kontwole kèk pati nan vil la.

Maisha ya mtaani yalikuwa magumu na wavulana wengi walipambana kila siku ili wapate chakula tu. Mara nyingine walikamatwa, mara nyingine walipigwa. Walipougua, kulikuwa hakuna mtu wa kuwasaidia. Kikundi kilitegemea hela ndogo ndogo walizopata kwa kuomba omba, na kwa kuuza plastiki na vitu kuukuu. Maisha yalikuwa magumu zaidi hasa kwa sababu ya vita dhidi ya vikundi pinzani vilivyotaka kudhibiti baadhi ya maeneo ya jiji.


Yon jou pandan ke Magozwe tap chache manje nan poubèl lari a, li jwenn yon vye liv istwa. Li retire salte sou liv la enpi li mete liv la nan valiz li. Chak jou apre sa a li pran ti liv lan pou’l gade foto yo. Li pat konn li.

Siku moja Magozwe alipokuwa anachakura kwenye mapipa ya takataka, alikuta kitabu cha hadithi kilichokuwa kimechakaa. Aliondoa uchafu kwenye kitabu na kukiweka ndani ya mfuko wake. Kila siku baada ya hapo, alikitoa kitabu na kuangalia picha. Hakujua kusoma maandishi.


Foto yo te rakonte istwa yon ti gason ki te grandi enpi ki te tounen yon pilòt. Magozwe te konn rete lap reve ke li tou se te yon pilòt. Pafwa, li te kwè ke se istwa li ki liv lan tap rakonte.

Picha zilikuwa zinaongelea hadithi ya mvulana ambaye alikuja kuwa rubani. Magozwe aliota kuwa rubani. Mara nyingine alifikiria kwamba yeye ni yule mvulana kwenye hadithi.


Te fè frèt anpil yon jou men Magozwe rete kanpe sou bò wout la lap mande charite. Yon nonm vin kote li. “Alo, mwen se Toma.” “Mwen travay tou pre isit la, yon kote ou kapab jwenn bagay pou w manje”. Li lonje dwèt li sou yon kay jòn ak twa ble. “Mwen ta vle ke ou ale chache yon ti manje la?” li di li. Magozwe gade mesye a, li gade kay la enpi li reponn “Petèt”. Magozwe kontinye wout li.

Kulikuwa na baridi na Magozwe alikuwa amesimama barabarani akiomba omba. Mtu alimkaribia. “Hujambo? Naitwa Thomas. Nafanya kazi karibu na hapa, mahali unapoweza kupata kitu cha kula,” mtu yule alisema. Alionyesha nyumba ya njano yenye paa la buluu. “Natumaini utaenda pale kupata chakula kidogo?” Thomas aliuliza. Magozwe alimwangalia yule mtu, kisha akaiangalia ile nyumba. “Labda,” akasema, halafu akaondoka.


Pandan kèk mwa, ti gason yo vin abitye wè Toma nan zònn nan. Li te renmen pale ak moun, sitou ak moun ki viv nan katye an. Toma koute istwa lavi moun yo. Li te serye ak pasyan, li pa janm malelve ni derespektan. Kèk nan ti gason yo te kòmanse ale nan kay jòn ak ble a pou manje nan mitan jounen an.

Miezi iliyofuata, wavulana wale wa mtaani walizoea kumwona Thomas hapa na pale. Alipenda kuzungumza na watu, hasa walioishi mitaani. Thomas alisikiliza simulizi za maisha ya watu. Alikuwa makini na mwenye subira, na hakuwa na kiburi wala dharau. Baadhi ya wavulana walianza kwenda kwenye ile nyumba ya njano na buluu ili kupata chakula cha mchana.


Magozwe te chita sou twotwa a lap gade foto nan liv la lè Toma vin chita bò kote li. “Kisa istwa sa ye?” li mande Magozwe. “Se istwa yon ti gason ki tounen yon pilòt,” Magozwe reponn. “Kijan ti gason sa a rele?” Toma mande “Mwen pa konnen, mwen pa konn li,” Magozwe reponn byen ba.

Magozwe alikuwa amekaa kando ya barabara akiangalia kitabu chake cha picha Thomas alipokaa pembeni mwake. “Hadithi hiyo inahusu nini?” Thomas akauliza. “Inahusu mvulana aliyekuja kuwa rubani,” Magozwe akajibu. “Jina lake ni nani?” Thomas akauliza. “Sijui, siwezi kusoma,” Magozwe akasema kwa sauti ya chini.


Magozwe kòmanse rakonte pwòp istwa li bay Toma. Li pale de tonton li, li rakonte poukisa li te sove. Toma pat pale anpil, li pa di Magozwe kisa pou’l fè men li toujou koute ak anpil atansyon. Pafwa yo te konn pale pandan yo tap manje nan kay ak do ble a.

Walipokutana, Magozwe alianza kumsimulia Thomas maisha yake. Alimwelezea kuhusu mjomba wake na sababu zilizomfanya atoroke. Thomas hakuongea sana, wala hakumwambia Magozwe nini cha kufanya, bali alisikiliza kwa makini kila mara. Wakati mwingine waliongea wakiwa wanakula kwenye ile nyumba yenye paa la buluu.


Lè Magozwe gen dizan, Toma ba li yon lòt liv istwa. Se te istwa yon ti gason nan yon vilaj ki te vin yon gwo jwè foutbòl popilè. Toma li istwa a pou Magozwe anpil fwa, li di li, “Mwen kwè ke li lè li tan pou’w ale lekòl pou’w aprann li. Kisa ou panse » Toma eksplike li te li konnen yon kote kote timoun ka rete enpi ale lekòl.

Mnamo mwaka wa kumi wa kuzaliwa kwa Magozwe, Thomas alimzawadia kitabu kipya cha hadithi. Ilikuwa ni hadithi inayohusu mvulana wa kijijini aliyekuja kuwa mcheza mpira maarufu. Thomas alimsomea Magozwe hadithi hiyo mara nyingi, mpaka siku moja akasema, “Nafikiri wakati umewadia wa kwenda shule kujifunza kusoma. Unaonaje?” Thomas alieleza kwamba anajua sehemu ambayo watoto wanaweza kuishi na kwenda shule.


Magozwe reflechi sou kote sa a, ak sou lekòl la. Li di tèt li « si tonton’m te gen rezon lè li di’m ke mwen twò bèt pou’m aprann yon bagay? Si yo kale li nan kote sa a? Li te pè. “Petèt li miyò pou li si li rete vivan nan lari a”.

Magozwe alifikiria kuhusu sehemu hii mpya, na kuhusu kwenda shule. Itakuwaje kama mjomba wake alikuwa sahihi kwamba alikuwa mjinga kiasi cha kutoweza kujifunza chochote? Itakuwaje kama watampiga sehemu hii mpya? Aliogopa. “Labda ni heri kuendelea kuishi mtaani,” aliwaza.


Li te pataje laperèz li yo ak Toma. Apre yon tan, Toma vin asire ti gason an ke lavi li tap miyò nan kote sa a.

Alimshirikisha Thomas juu ya hofu aliyokuwa nayo. Baada ya muda Thomas alimhakikishia kwamba maisha yatakuwa bora huko sehemu mpya.


Se konsa, Magozwe al rete nan yon kay ak twa vèt la. Li pataje chanm li ak de lòt ti gason. Te gen antotal dis timoun ansanm ak tant Cissy ak mari li, twa chen, yon chat, ak yon kabrit granmoun ki te rete nan kay sa a.

Kwa hiyo Magozwe alihamia kwenye chumba katika nyumba yenye paa la kijani. Alikaa chumba kimoja na wavulana wengine wawili. Kwa ujumla kulikuwa na watoto kumi walioishi kwenye nyumba ile. Waliishi pamoja na Shangazi Cissy na mume wake, mbwa watatu, paka mmoja, na mbuzi aliyezeeka.


Magozwe kòmanse lekòl men sa te difisil anpil. Li te gen anpil bagay pou li ratrape. Pafwa li pa te vle rete men li vin sonje istwa pilòt la ak jwè foutbòl la. Li fè tankou yo, li kenbe fò.

Magozwe alianza shule na ilikuwa ngumu. Alikuwa na mengi ya kujifunza. Mara nyingine alitaka kukata tamaa. Lakini aliwaza kuhusu rubani na mcheza mpira kwenye vitabu vya hadithi. Kama wao, hakukata tamaa.


Magozwe te chita nan lakou kay vèt la enpi li tap li yon liv istwa lekòl la. Toma vin wè li, li te chita bò kote l. “Kisa istwa sa ye la?” Toma mande li “Se istwa yon ti gason ki tounen yon pwofesè,” Magozwe reponn. “Ki non ti gason sa a?” Toma mande li. “Non li se Magozwe,” li reponn ak yon souri.

Magozwe alikuwa amekaa uani kwenye nyumba yenye paa la kijani, akisoma kitabu cha hadithi cha shule. Thomas alikuja na kukaa kando yake. “Hadithi inahusu nini?” Thomas akauliza. “Inahusu mvulana aliyekuja kuwa mwalimu,” Magozwe akajibu. “Jina lake ni nani?” akauliza Thomas. “Jina lake ni Magozwe,” Magozwe akasema kwa tabasamu.


Written by: Lesley Koyi
Illustrated by: Wiehan de Jager
Translated by: ACE Haiti-University of Notre Dame USA
Language: Haitian
Level: Level 5
Source: Magozwe from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License.
Read more level 5 stories:
Options
Back to stories list Download PDF