Download PDF
Back to stories list

Tom le vendeur de bananes Tom muuza ndizi

Written by Humphreys Odunga

Illustrated by Zablon Alex Nguku

Translated by Alexandra Danahy

Read by Monique Bournot-Trites

Language French

Level Level 2

Narrate full story

Reading speed

Autoplay story


Tom transporte un plateau de bananes mûres.

Tom anabeba tenga la ndizi zilizoiva.


Tom va au marché pour vendre des bananes.

Tom anaenda sokoni kuuza ndizi.


Les gens au marché achètent des fruits.

Sokoni watu wananunua matunda.


Mais personne n’achète les bananes de Tom. Ils préfèrent acheter leurs fruits des femmes.

Lakini hakuna anayenunua ndizi za Tom. Wanapenda kununua matunda kutoka kwa akina mama.


« Dans notre communauté, seulement les femmes vendent des fruits, » disent les gens. « Quelle sorte d’homme est celui-ci ? » demandent les gens.

“Kwenye jamii yetu, ni wanawake pekee ndio wanaouza matunda,” watu wanasema. “Ni mwanamume wa aina gani huyu?” watu wanahoji.


Mais Tom ne démissionne pas. Il crie, « Achetez mes bananes ! Achetez mes bananes mûres et sucrées ! »

Lakini Tom hakati tamaa. Anaita, “Nunua ndizi zangu! Nunueni ndizi zangu tamu zilizoiva!”


Une femme choisit un régime de bananes du plateau. Elle inspecte les bananes soigneusement.

Mwanamke mmoja anachukua kichane cha ndizi kutoka kwenye tenga. Anaziangalia ndizi kwa umakini.


La femme achète les bananes.

Mwanamke ananunua ndizi.


D’autres personnes viennent au stand. Elles achètent les bananes de Tom et les mangent.

Watu wengine wanakuja kwenye kichanja. Wananunua ndizi za Tom na kuzila.


Bientôt, le plateau est vide. Tom compte l’argent qu’il a gagné.

Mara, tenga linakuwa tupu. Tom anahesabu pesa alizopata.


Ensuite, Tom achète du savon, du sucre et du pain. Il met les choses sur son plateau.

Tom ananunua sabuni, sukari, na mkate. Anaweka vitu kwenye tenga lake.


Tom balance le plateau sur sa tête et rentre chez lui.

Tom anajitwisha tenga kichwani na kwenda nyumbani.


Written by: Humphreys Odunga
Illustrated by: Zablon Alex Nguku
Translated by: Alexandra Danahy
Read by: Monique Bournot-Trites
Language: French
Level: Level 2
Source: Tom the banana seller from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF