Download PDF
Back to stories list

Sakimas sang Wimbo wa Sakima

Written by Ursula Nafula

Illustrated by Peris Wachuka

Translated by Kim Sandvad West

Language Danish

Level Level 3

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Sakima boede med sine forældre og sin fire år gamle søster. De boede på en rig mands jord. Deres stråtækte hytte lå for enden af en række træer.

Sakima aliishi na wazazi wake na dada yake wa miaka minne. Waliishi katika shamba la mtu tajiri. Nyumba yao ya nyasi ilikuwa mwisho wa safu ya miti iliyopendeza.


Da Sakima var tre år gammel, blev han syg og mistede sit syn. Sakima var en begavet dreng.

Sakima alipokuwa na umri wa miaka mitatu, aliugua na kupoteza uwezo wa kuona. Hata hivyo, Sakima alikuwa mvulana mwenye kipaji.


Sakima gjorde mange ting, som andre drenge på seks år ikke gjorde. For eksempel kunne han sidde sammen med de ældre i landsbyen og diskutere vigtige ting.

Sakima alitenda mambo mengi ambayo wavulana wengine wa umri wake hawakufanya. Kwa mfano, aliketi na watu wazima na kujadili mambo muhimu.


Sakimas forældre arbejdede i den rige mands hus. De tog hjemmefra tidligt om morgenen og kom hjem sent om aftenen. Sakima var alene med sin lillesøster.

Wazazi wa Sakima walifanya kazi katika nyumba ya yule tajiri. Walitoka nyumbani asubuhi na mapema na kurudi jioni. Sakima aliachwa na dada yake.


Sakima elskede at synge sange. En dag spurgte hans mor ham: “Hvor lærer du disse sange fra, Sakima?”

Sakima alipenda kuimba nyimbo. Siku moja mama yake alimuuliza, “Sakima, unajifunza nyimbo hizi kutoka wapi?”


Sakima svarede: “De kommer bare, moder. Jeg hører dem i mit hoved, og så synger jeg.”

Sakima alimjibu, “Nazisikia akilini mwangu kisha naziimba.”


Sakima kunne godt lide at synge for sin lillesøster, især hvis hun var sulten. Hans søster lyttede, når han sang sin yndlingssang. Hun vuggede i takt til den beroligende musik.

Sakima alipenda kumwimbia mdogo wake hasa akihisi njaa. Dada yake alimsikiliza na kucheza.


“Kan du synge den igen og igen, Sakima?” bad hans søster ham. Sakima gjorde, som hun sagde, og sang den igen og igen.

“Naomba uimbe tena na tena, Sakima,” mdogo wake alimsihi. Sakima alikubali na kuimba mara nyingine.


En aften da hans forældre kom hjem, var de meget stille. Sakima vidste, at der var noget galt.

Jioni moja, wazazi wake waliporudi nyumbani, walikuwa kimya sana. Sakima alijua kwamba lazima kulikuwa na jambo baya.


“Hvad er der galt, moder, fader!” spurgte Sakima. Sakima fandt ud af, at den rige mands søn var forsvundet. Manden var meget ked af det og ensom.

“Kuna shida gani, mama, baba?” Sakima aliuliza. Sakima aligundua kwamba mwana wa tajiri wao alikuwa amepotea. Tajiri alihuzunika na kuwa na upweke mkubwa.


“Jeg kan synge for ham. Måske bliver han glad igen,” sagde Sakima til sine forældre. Men hans forældre afviste ham. “Han er meget rig. Du er bare en blind dreng. Tror du, din sang kan hjælpe ham?”

“Labda atafurahi tena nikimwimbia,” Sakima aliwaambia wazazi wake. Wazazi wake walidharau wazo lake. “Yeye ni tajiri sana. Wewe ni mvulana asiyeona. Unadhani wimbo wako utamsaidia?”


Sakima gav dog ikke op. Hans lillesøster støttede ham. Hun sagde: “Sakimas sange beroliger mig, når jeg er sulten. De vil også berolige den rige mand.”

Hata hivyo, Sakima hakukata tamaa. Mdogo wake alimpa moyo. Alisema, “Nyimbo za Sakima hunituliza mimi nikiwa na njaa. Zitamtuliza tajiri vile vile.”


Næste dag bad Sakima sin lillesøster om at vise ham til den rige mands hus.

Siku iliyofuata, Sakima alimwomba mdogo wake amwongoze hadi kwenye nyumba ya tajiri.


Han stod under et stort vindue og begyndte at synge sin yndlingssang. Langsomt kom den rige mands hoved til syne i det store vindue.

Alisimama chini ya dirisha moja kubwa na kuanza kuimba wimbo wake alioupenda. Pole pole, kichwa cha tajiri kilionekana dirishani.


Arbejderne stoppede med at arbejde. De lyttede til Sakimas smukke sang. Men en mand sagde: “Ingen har kunnet trøste chefen. Tror denne blinde dreng, at han kan trøste ham?”

Wafanyakazi waliacha kazi zao. Wakasikiliza wimbo mzuri wa Sakima. Hata hivyo, mwanamume mmoja alisema, “Hakuna aliyefaulu kumtuliza bwana. Je, huyu mvulana asiyeona anafikiri atamtuliza?”


Sakima sang sin sang færdig og vendte sig om for at gå. Men den rige mand skyndte sig ud og sagde: “Vær sød at synge igen.”

Sakima alipomaliza kuimba wimbo wake alianza kuondoka. Tajiri alitoka nje kwa haraka na kusema, “Tafadhali, imba tena.”


I samme øjeblik kom to mænd gående med nogen på en båre. De havde fundet den rige mands søn banket og efterladt ved siden af vejen.

Wakati huo huo, watu wawili walikuja wakiwa wamembeba mtu kwenye machela. Walimkuta mwana wa tajiri akiwa amechapwa na kuachwa kando ya barabara.


Den rige mand var glad for at se sin søn igen. Han belønnede Sakima for at have trøstet ham. Han bragte sin søn og Sakima til hospitalet, så Sakima kunne få sit syn tilbage.

Tajiri alifurahi sana kumwona mwana wake tena. Alimzawadia Sakima kwa kumliwaza. Aliwapeleka mwanawe na Sakima hosipitali ili Sakima aweze kusaidiwa kuona tena.


Written by: Ursula Nafula
Illustrated by: Peris Wachuka
Translated by: Kim Sandvad West
Language: Danish
Level: Level 3
Source: Sakima's song from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF